Posts

Showing posts from September, 2017

ZIFAHAMU TEAM KUBWA ALIZOWAI KUZINOA ANCELOTTI

Image
PSG , Chelsea, Ac milan, Real Madrid na ya mwisho ni hii bayarn Munich . Akiwa na club ya Ac Milan Ancelotti alifanikiwa kuutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa barani ulaya Mara mbili 2003 pamoja na 2007, huku akija kufanya ivyo tena kuutwaa ubingwa huo mwaka 2014_alipokuwa na club ya Real Madrid .

ALICHOKIVUNA ANCELOTTI

Image
Baada ya kudumu ktk club ya b.Munich taklibani misim 2 , Carlo Ancelotti hakutoka hivi hivi ktk club hiyo kwa sababu aliweza kufanikiwa kuijenga record ya aina yake ndani ya club hiyo. Ancelotti kiujumla aliiongoza b.Munich ktk michezo 60 na kufanikiwa kushinda mechi 42,sare mechi 9 pamoja na kupoteza michezo 9 iliyosalia..

NEYMAR vs CAVANI

Image
Baada ya club ya bayarn Munich kupokea kichapo cha goli 3 kwa nunge dhidi ya PSG , uongozi wa club umechukua hatua ya kumfungashia vilago Carlo Ancelotti, baada ya kuingia DOA kwa kibarua hicho naye Raisi wa club ya bayarn Munich ndugu ili hoeness alibainisha live moja kati ya sababu kubwa iliyopeleekea kufukuzwa kwa kocha huyo ni kutokana na baadhi ya wachezaji wanaotegemewa na club kuanza kumpinga vikari kocha huyo.By by Ancelotti

100 GOALS

Image
Mshambuliaji wa club ya Arsenal Oliver Giraud mbali na kupitia kipindi kigumu cha mpito ktk club hiyo hatimaye amefikisha jumla ya magoli 100 na kuingia ktk historia ya club kwa kufikisha idadi hiyo ya magoli.tangu kuwasili kwa striker huyo Mara kwa Mara amekuwa akikumbana na upinzani mkubwa tokea kwaashabiki wa club hiyo , wakidai juu ya ubutu wa forward huyo hadtaili kuchezea team yao , lakini kwa sababu club haiendeshwi na mashabiki bado mpaka Leo hii Giraud ameendelea kuitumikia club hiyo kwa namna yake. Jehhh UPI mtazamo wako juu ya hatma ya player huyo ndani ya the gunners ?.

BIG UP SIMBA FROM TANDARE

Image
Kama ulikuwa ni miongoni mwa watu wanaojulikana , ambao ndio waliokuwa wakimbeza Diamond platnumz baada ya msanii mkongwe wa bongo freva - king kiba  kutoa nyimbo yake ya seduce me ,ambayo ilipokelewa vizuri sokoni basi kwa taarifa yako tuhhh mond ameachia mzigo mpyaaaaaa aliomshilikisha Morgan heritage - nyimbo inaitwa hallelujah , cha kufanya embu itafute hii track iliyofungamana na video yake kisha itazame na kuisikiliza then nijuze jehhh nani anafaa kuwa mfalme wa bongo freva ????.

SAHAU KUHUSU ASENSIO

Image
Madrid yampa mkataba mpya "until" 2023

UCL

Image
Tokea la mechi ya Jana

LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA

Image
Yesterday result

Uefa champion league

Image
Matokeo ya mechi za jana

Uefa champion league

Image
Yesterday result

DANGEROUS STRIKER

Image
Ligi ya mabingwa ulaya  inaendelea Leo huku ikiwa tayari mbabe wa nyavu H.Kane ameushika vyema usukani wa magoli kwa Kutupia mara  5 huku akifuatiwa na mreno Cr7 ambaye ametupia Mara 4 , hii vita bado mbichi mnooo tusubiri tuone mwisho wa picha itakuajeh.

WENYE WIVU WAJINYONGE TUH

Image
Rasmi diamond platnumz amemkubali Mtoto wa Amisa mobetto kupitia interview yake aliyeifanya  ktk radio flani flani ivi jijini dar es salaam,awali kulikuwa na drama nyingi mno kupitia mitandao ya kijamii kuhusiana na ujauzito huo wa Amisa huku mwenyewe Amisa akiweka wazi juu ya muusika wa kitambi kile alikuwa ni diamond platnumz . mbali na yote hayo wadau na wafuatiliaji wa maswala mbalimbali ya Habari mitandaoni waliitaji kujua juu ya nani muusika wa  mtoto huyo , hayo yalikuwa ni baadhi ya maswali tata ambayo ilikuwa ngumu kupata majibu yake , hii ilichagizwa na diamond platnumz kukaa kimya juu ya swala hilo. Lakini ndo ivyo mwisho wa picha mtoto amezaliwa na diamond platnumz amemkubali mtoto huyo ya kuwa ni wake. Mkali huyo wa bongo fleva Kupitia interview yake na radio hiyo aliweka bayana jina jipya La mtoto huyo ambaye amemwita Dylan. Shika moh MOND ,Hongera zako baba watatu hongera kwa kufyatua kwa mobetto ama kweli Wewe ni real simba from tandareeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee... ...

PSG vs BARCELONA

Image
IPI ni safu hatari zaidi kwa sasa barani ulaya ?

WASAFI FAMILY

Image
Jehhh ungepata nafasi ya kukutana na diamond platnumz ungetamani kumjuza kipi haswa kuhusu Wasafi ?

KIBUBU NI BORA KULIKO BENK !

Image
Ivi ni kweli kibubu ni bora kuliko benki account ????

UNA IMANI KTK HILI

Image
Jehhh kitendo cha wachezaji wakubwa ambao ni mfano mzuri wa kuigwa na kizazi kipyaa , wanapo cheza rafu uwanjani Wewe kama mdau wa soka  unakichukuliajeh ???

NENO MOJA LA KISHUJAA

Image
Ivi hawa watu wanaochagiza ugomvi ama bifu kwa wasanii wetu wapendwa ungepata nafasi ya kuwafikishia ujumbe ungewa ambia nini ???????.

IJUE THAMANI YA RAFIKI

Image
Sote tunafahamu kwa sasa mreno christiano Ronaldo anaitumikia adhabu yake aliyopewa na chama cha mpira cha Hispania  kutokana na kosa La kumsukuma mwamuzi wa kati , habari njema ni kwamba adhabu hiyo inakaribia kuisha hii inatokana na mreno huyo kutocheza mechi kadhaa za La liga tangu ilipotangazwa hadharani adhabu hiyo .kwa mujibu wa watu wa karibu na star huyo ambao miongoni mwao walionekana kufungamana na Ronaldo ktk sehemu za misosi wametoa siri juu ya Ronaldo , mbali na adhabu hiyo bado Ronaldo amezidi kuwa karibu na marafiki zake kama ilivyo kuwa hapo awali, hii inatosha  kubainisha ni jinsi gani Ronaldo anavyotambua thamani ya marafiki .

NEYMAR VS CAVANI

Image
Sakata la kugombea majukumu ya upigaji wa penati kati ya Neymar Jr dhidi ya E.Cavani , wewe mdau wa soka umelichukuliajehh ?????????

2017 UEFA RESULT

Image
Kazi ndo kwanza imeanza

WENGER AOWA MCHEZAJI

Image
Ukweli na uwakika , meneja wa sasa wa club ya Arsenal , mzee Wenger miaka kadhaa iliyopita alimuoa mchezaji wa mpira wa kikapu 'Annie brosterhous ambaye hadi sasa ndiye  mkewe , ktk maisha ya ndoa yao ambayo imedumu mpaka hivi sasa Wenger na Annie wamefanikiwa kupata mtoto mmoja tuhhh ambaye anajulikana kwa jina la Lea Wenger.

67 YEARS OLD

Image
Ni umri wa sasa wa meneja wa Arsenal ambaye miaka kadhaa iliyopita Alizaliwa huko mjini Starsbourg,1996 wakati mi nazaliwa meneja huyu wa ufalansa ndio mwaka alioanza kuinoa club ya Arsenal.Mbali na kudumu Kwa muda mrefu ndani ya club ya Arsenal ,2004 Wenger alimaliza msimu mzima ktk ligi ya FA bila ya kupoteza mchezo wowote. Jina LA mfaransa huyo lilianza kujulikana zaidi kutokana na mafanikio aliyoyapata wakati akiinoa club ya As Monako. Linapokuja swala la wasomi hauwezi kabisa kutomzungumzia  Wenger kwa sababu yeye ni miongoni mwa makocha wasomi duniani,tayari Wenger ana stashaada ya uandizi ktk nyanja za electronic kama hiyo haitoshi pia Wenger anayo stashaada ya Uchumi. Elimu ya mzee Wenger aliipata ktk chuo cha Strasbourg university. Kuhusu lugha ambazo Wenger anaelewa kwa ufasaha zaidi ni Kingereza, kifaransa, kijerumani pamoja na kihispania. Kwa mbali pia Wenger anakielewa kiitaliano pamoja na kijapani, hii inatosha kudhihilisha ni jinsi gani Wenger anavyoepuka shida za lu...

MONDI BABA LA MABABA

Image
Kubwa kuliko mazehhhhhCEO wa WCB, baba Abdul, baba tiffah baba Nilan,rasmi alamba shavu la  kuwa Barozi wa kampuni ya pombe iliyopo Hukoo  nchini ufaransa .Luc belaire kupitia ukurasa wake wa Instagram imethibitisha kuingia makubaliano na Simba wa tandare. Ambapo kutokana na dili hilo nono diamond ataungana na wakali kibao.Wa music walio  kwisha saini dili kama hilo akiwemo Rick Ross.Kama hiyo haitoshi baada ya kuzagaa kwa taarifa hiyo hapo jana Mkali wa michano ya hiphop  tokea Marekani Bigstar RickRoss Alisibitisha ukweli wa taarifa hizo Kupitia twit yake  ndani ya kurasa yake ya Instagram kwa Kuandika "self made tastes better "Kwisha kwenye caption   aliweka picha ya Simbaaaaa Wa tandare diamond platnumz .Kuhusu mkwanja ambao platnumz ataingiza kupitia dili hilo bado hauko Public kutokana na kufichwa  kwa Ishu hiyo ilaaaaa Tayari wapekuzi wa mambo tumesha mtupia macho mmoja kati ya mabaloz wa luc belaire  ambaye inasemekana anawe...

TANZANIA KIBOKO YA MABISHOO

Image
Mkali wa frestyle Rayvan/Vi vanboy  tokea WCB,ameitwaa tuzo yaAfrican Act of the year iliyotolewa naUganda Entertainment award .Haikuwa rahisi kwa chaleee huyo kuitwa tuzo hiyo  kutokana na kipengele hicho  kutawaliwa na wakali wa music tokea afrika .Alikuwepo Davido ,wizkid ,pamoja na mwanadada Vanessa mdee tokea tz .Tujikumbushe kidogooo Yapata miezi 4 sasa tangu Mwanafamilia huyo wa WCB aitwae tuzo Ya BET ktk kipengele cha Viewer's choice best new International Act 2017.Hivyo kuitwaa tuzo hiyo ya UgandaNi muendelezo mzuri wa  mafanikio Ktk safari yake ya kimuziki

PRAY FOR NDEMLA

Image
Baada ya tetesi za mwendo  kasi kushika nafasi  ktk nchi ya wachapakazi juu ya ndemla kuusishwa na mpango wa kwenda  kucheza soka LA kulipwa nchini Sweden.Hatimaye meneja wa Said Ndema Amethibitisha juu ya dili hilo huku Akisisitiza ni ukweli mtupu kuhusiana na ndemla kwenda kukiputa cha kulipwa nchin sweden Safari ya kwama Mbali na meneja huyo kusibitisha juu ya taarifa   hizo lakini bado ndemla yupo  nchini  tanzania.Kutokana na kukosekana kwa visa Itakayo mruhusu kwenda  Sweden pamoja na kufanya kazi nchini humo.

German football referee

Image
Date 24 march 1979 police officer babiana steinhaus was born.Raia huyo wa ujerumani amekuwa mwanadada wa kwanza kuchezesha mchezo wa bundesliga.Babiana aliuongoza mchezo waJanaJumapili kati ya werde Bremen dhidi ya Hertha Berlin , mchezo ambao ulimalizika kwa sare. Mnamo may 2017 babian alijiunga rasmi na bundesliga baada ya kudumu kwa muda mrefu   taklibani miaka 6 ktk ligi daraja La pili kuleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Ujerumani.