WENGER AOWA MCHEZAJI

Ukweli na uwakika , meneja wa sasa wa club ya Arsenal , mzee Wenger miaka kadhaa iliyopita alimuoa mchezaji wa mpira wa kikapu 'Annie brosterhous ambaye hadi sasa ndiye  mkewe , ktk maisha ya ndoa yao ambayo imedumu mpaka hivi sasa Wenger na Annie wamefanikiwa kupata mtoto mmoja tuhhh ambaye anajulikana kwa jina la Lea Wenger.

Comments

Popular posts from this blog

MONDI BABA LA MABABA