PRAY FOR NDEMLA
Baada ya tetesi za mwendo kasi kushika nafasi ktk nchi ya wachapakazi juu ya ndemla kuusishwa na mpango wa kwenda kucheza soka LA kulipwa nchini Sweden.Hatimaye meneja wa Said Ndema Amethibitisha juu ya dili hilo huku Akisisitiza ni ukweli mtupu kuhusiana na ndemla kwenda kukiputa cha kulipwa nchin sweden Safari ya kwama Mbali na meneja huyo kusibitisha juu ya taarifa hizo lakini bado ndemla yupo nchini tanzania.Kutokana na kukosekana kwa visa Itakayo mruhusu kwenda Sweden pamoja na kufanya kazi nchini humo.
Comments
Post a Comment