BIG UP SIMBA FROM TANDARE

Kama ulikuwa ni miongoni mwa watu wanaojulikana , ambao ndio waliokuwa wakimbeza Diamond platnumz baada ya msanii mkongwe wa bongo freva - king kiba  kutoa nyimbo yake ya seduce me ,ambayo ilipokelewa vizuri sokoni basi kwa taarifa yako tuhhh mond ameachia mzigo mpyaaaaaa aliomshilikisha Morgan heritage - nyimbo inaitwa hallelujah , cha kufanya embu itafute hii track iliyofungamana na video yake kisha itazame na kuisikiliza then nijuze jehhh nani anafaa kuwa mfalme wa bongo freva ????.

Comments

Popular posts from this blog

MONDI BABA LA MABABA