DANGEROUS STRIKER

Ligi ya mabingwa ulaya  inaendelea Leo huku ikiwa tayari mbabe wa nyavu H.Kane ameushika vyema usukani wa magoli kwa Kutupia mara  5 huku akifuatiwa na mreno Cr7 ambaye ametupia Mara 4 , hii vita bado mbichi mnooo tusubiri tuone mwisho wa picha itakuajeh.

Comments

Popular posts from this blog

MONDI BABA LA MABABA