Popular posts from this blog
KIBUBU NI BORA KULIKO BENK !
MONDI BABA LA MABABA
Kubwa kuliko mazehhhhhCEO wa WCB, baba Abdul, baba tiffah baba Nilan,rasmi alamba shavu la kuwa Barozi wa kampuni ya pombe iliyopo Hukoo nchini ufaransa .Luc belaire kupitia ukurasa wake wa Instagram imethibitisha kuingia makubaliano na Simba wa tandare. Ambapo kutokana na dili hilo nono diamond ataungana na wakali kibao.Wa music walio kwisha saini dili kama hilo akiwemo Rick Ross.Kama hiyo haitoshi baada ya kuzagaa kwa taarifa hiyo hapo jana Mkali wa michano ya hiphop tokea Marekani Bigstar RickRoss Alisibitisha ukweli wa taarifa hizo Kupitia twit yake ndani ya kurasa yake ya Instagram kwa Kuandika "self made tastes better "Kwisha kwenye caption aliweka picha ya Simbaaaaa Wa tandare diamond platnumz .Kuhusu mkwanja ambao platnumz ataingiza kupitia dili hilo bado hauko Public kutokana na kufichwa kwa Ishu hiyo ilaaaaa Tayari wapekuzi wa mambo tumesha mtupia macho mmoja kati ya mabaloz wa luc belaire ambaye inasemekana anawe...
Comments
Post a Comment