Posts

MAKUZIIIII

Image
Jehhh ney Wa mitego yuko sahihi kumlalamikia diamond platnumz a.k.a Simbaaa from tandare kwa kitendo chake cha kutumia vionjo ambavyo vishatumika na Ney Wa mitegi ktk ngoma Yake ya maku ?. Embu tukumbushane kidogo siri ya mchezo ipojehh , taklibani mwezi sasa tangu msanii Wa bongo flava Ney Wa mitego aachie ngoma Yake iliyokwenda kwa jina la Maku ambapo ktk ngoma Yake hiyo ney alitumia maneno ya wakawaka wakaa kama kiitikio . ajabuhhhh mzehh baba Simba from tandare naye ameachia ininternational song huku akimshirikisha mwanamuzi nguli tokea America ( Rick Ross) ,tatizo ni kwamba kwa ujumla ngoma hiyo ya diamond platnumz iko njema kwa maana ya kuwa ameitendea haki kama ilivyo takiwa, hii ni nyimbo nyingine ya diamond platnumz ambayo iko ki mataifa zaidi , sasa basi ktk upande Wa kiitikio diamond ametumia maneno ya wakawaka wakaa kama vilee alivyo yatumia Ney Wa mitego. Jehh ni kweli mond ameiba kiitikio cha Ney Wa mitego ???? kama wasemavyo mashabiki Wa Ney ? , embu tafuta izo ngoma mb...

Jehhh unaitaji pata ushauri , unamawazo , kuna kitu kinakusumbua , unaitaji msaada wa kimawazo , ungependa kuirejesha furaha iliyopotea , usiangaikee kwa sababu ishoprese.com vs dulleeyyishoprese.blogspot.com ni jibu la maswali yako ,hakikisha kila wakati unatembelea ktk vyanzo vyetu tajwa hapo juu kwa ajiri ya kujipatia , kuirejesha pamoja na kuijenga upyaaaa furaha iliyotoweka , na kama utapendelea kufurahi zaidiii basii usipoteze mda cos mda ni mali kuliko gariii , our YouTube channel inayopatikana kwa jina la dulleeyy ishoprese nikibokooo ya vichekooooo, fika sasa ktk vyanzo vyetu kila siku,kila wakati ili tuhh uijenge upyaaaa furaha yako .Ahsanteh.

Image
http://m.me/Ishopress

ZIFAHAMU TEAM KUBWA ALIZOWAI KUZINOA ANCELOTTI

Image
PSG , Chelsea, Ac milan, Real Madrid na ya mwisho ni hii bayarn Munich . Akiwa na club ya Ac Milan Ancelotti alifanikiwa kuutwaa ubingwa wa ligi ya mabingwa barani ulaya Mara mbili 2003 pamoja na 2007, huku akija kufanya ivyo tena kuutwaa ubingwa huo mwaka 2014_alipokuwa na club ya Real Madrid .

ALICHOKIVUNA ANCELOTTI

Image
Baada ya kudumu ktk club ya b.Munich taklibani misim 2 , Carlo Ancelotti hakutoka hivi hivi ktk club hiyo kwa sababu aliweza kufanikiwa kuijenga record ya aina yake ndani ya club hiyo. Ancelotti kiujumla aliiongoza b.Munich ktk michezo 60 na kufanikiwa kushinda mechi 42,sare mechi 9 pamoja na kupoteza michezo 9 iliyosalia..

NEYMAR vs CAVANI

Image
Baada ya club ya bayarn Munich kupokea kichapo cha goli 3 kwa nunge dhidi ya PSG , uongozi wa club umechukua hatua ya kumfungashia vilago Carlo Ancelotti, baada ya kuingia DOA kwa kibarua hicho naye Raisi wa club ya bayarn Munich ndugu ili hoeness alibainisha live moja kati ya sababu kubwa iliyopeleekea kufukuzwa kwa kocha huyo ni kutokana na baadhi ya wachezaji wanaotegemewa na club kuanza kumpinga vikari kocha huyo.By by Ancelotti

100 GOALS

Image
Mshambuliaji wa club ya Arsenal Oliver Giraud mbali na kupitia kipindi kigumu cha mpito ktk club hiyo hatimaye amefikisha jumla ya magoli 100 na kuingia ktk historia ya club kwa kufikisha idadi hiyo ya magoli.tangu kuwasili kwa striker huyo Mara kwa Mara amekuwa akikumbana na upinzani mkubwa tokea kwaashabiki wa club hiyo , wakidai juu ya ubutu wa forward huyo hadtaili kuchezea team yao , lakini kwa sababu club haiendeshwi na mashabiki bado mpaka Leo hii Giraud ameendelea kuitumikia club hiyo kwa namna yake. Jehhh UPI mtazamo wako juu ya hatma ya player huyo ndani ya the gunners ?.

BIG UP SIMBA FROM TANDARE

Image
Kama ulikuwa ni miongoni mwa watu wanaojulikana , ambao ndio waliokuwa wakimbeza Diamond platnumz baada ya msanii mkongwe wa bongo freva - king kiba  kutoa nyimbo yake ya seduce me ,ambayo ilipokelewa vizuri sokoni basi kwa taarifa yako tuhhh mond ameachia mzigo mpyaaaaaa aliomshilikisha Morgan heritage - nyimbo inaitwa hallelujah , cha kufanya embu itafute hii track iliyofungamana na video yake kisha itazame na kuisikiliza then nijuze jehhh nani anafaa kuwa mfalme wa bongo freva ????.