MAKUZIIIII

Jehhh ney Wa mitego yuko sahihi kumlalamikia diamond platnumz a.k.a Simbaaa from tandare kwa kitendo chake cha kutumia vionjo ambavyo vishatumika na Ney Wa mitegi ktk ngoma Yake ya maku ?. Embu tukumbushane kidogo siri ya mchezo ipojehh , taklibani mwezi sasa tangu msanii Wa bongo flava Ney Wa mitego aachie ngoma Yake iliyokwenda kwa jina la Maku ambapo ktk ngoma Yake hiyo ney alitumia maneno ya wakawaka wakaa kama kiitikio . ajabuhhhh mzehh baba Simba from tandare naye ameachia ininternational song huku akimshirikisha mwanamuzi nguli tokea America ( Rick Ross) ,tatizo ni kwamba kwa ujumla ngoma hiyo ya diamond platnumz iko njema kwa maana ya kuwa ameitendea haki kama ilivyo takiwa, hii ni nyimbo nyingine ya diamond platnumz ambayo iko ki mataifa zaidi , sasa basi ktk upande Wa kiitikio diamond ametumia maneno ya wakawaka wakaa kama vilee alivyo yatumia Ney Wa mitego. Jehh ni kweli mond ameiba kiitikio cha Ney Wa mitego ???? kama wasemavyo mashabiki Wa Ney ? , embu tafuta izo ngoma mb...